INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, April 30, 2012



KAJALA AMWAGA CHOZI KORTINI

Happiness Katabazi

MSANII wa Filamu nchini, Kalaja Masanja leo alimwaga machozi na kuuujia juu upande wa Jamhuri katika kesi inayomkabili ya utakajitishaji fedha haramu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akiushinikiza ulete mashahidi haraka kwani kule gerezani anakoishi siyo sehemu ya starehe.
Kajala alitoa shinikizo hilo jana mbele ya Hakimu Mkazi Sundi Fimbo muda mfupi baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rsuhwa (PCCB), Swai kuikumbukusha mahakama kuwa kesi hiyo ilikuja jana kwaajili ya mashahidi wa upande wa Jamhuri kuanza kutoa ushahidi wao lakini akadai hilo halitaweza kufanyika kwasababu hajaja na mashahidi na kwamba anaiomba kesi hiyo iarishwe.

Baada ya wakili huyo wa PCCB kumaliza kutoa maelezo hayo ndipo Kajala akanyosha kidole na kuomba ruhusa ya mahakama ili aweze kuzungumza jambo na alizungumza kama ifuatavyo:
“Mweshimiwa hakimu hivi huyu wakili wa serikali anafikiri kule gereza la Segerea ninakoishi kwa sasa ni sehemu ya stahere? Gerezani kunatisha wewe wakili wa serikali lete mashahidi kesi isikilizwe”alidai Kajala huku akitokwa na machozi.

Kwa upande wake Hakimu Fimbo aliarisha kesi hiyo Mei 9 mwaka huu,ambapo upande wa jamhuri unatakiwa ulete mashahidi wake ili waanze kutoa ushihidi.

Machi 27 mwaka huu, ilidaiwa na wakili Swai kuwa Wakili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Leonard Swai alidai mbali na Kajala mshtakiwa mwingine ni muwe Faraja Chambo wanakabiliwa na makosa matatu, kosa la kwanza ni la kula njama kinyume na kifungu cha 34 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya mwaka 2007 ambapo washtakiwa wote kwa pamoja walitenda kosa hilo la kula njama la kuamisha umiliki wa nyumba iliyopo Kunduchi Salasala eneo ambalo halijapimwa jijini Dar es Salaam. 

Shtaka la pili ni ni kwamba Aprili 14 mwaka 2010 waliamisha isivyo halali umiliki wa nyumba hiyo ambayo walikuwa wakiimiliki kwenda kwa Emilian Rugalia ambaye ndiyo walimuuzia kinyume na kifungu cha 34(2)A(3) cha Sheria ya TAKUKURU ya mwaka 2007. Na shtaka la tatu ni la kutakatisha fedha ambalo walilitenda siku hiyo ya Aprili 14 mwaka 2010 huku wakijiua ni kinyume na sheria hiyo. 

Chambo ambaye naye yupo gerezani kwa zaidi ya mwaka mmoja kwasababu anakabiliwa na kesi nyingine ya utakatishaji fedha haramu iliyofunguliwa mahakamani hapo ambapo kwa mujibu wa sheria kosa hilo halina dhamana.

Source: mamapipiro.blogspot.com

Saturday, April 28, 2012



ODAMA KUACHIA FILAMU MPYA "RUDE" AMBAYO ITAKUWA MITAANI KUANZIA 4 MEI 2011

Kaa tayari kupata nakala yako mpya ya movie yangu inayoitwa RUDE niliyoicheza na Stanley Msungu,Ruth Suka a.k.a Mainda, Mzee Jengua, Herrieth Chumila,Rachel Haule na wasanii wengineo kibao.

Ni story nzuri sana ( Lamata hajawahi kuniangusha kwenye hilo) inayoonyesha mambo halisi yanayotokea katika jamii yetu.

Utajiuliza utofauti wake ni nini? ni ubora wa picha( shukrani kwa Farid Uwezo) mpangilio mzuri wa story, soundtracks zilizopangiliwa vizuri, ubora wa sauti na kikubwa zaidi FINE ACTING.

Muone jinsi Msungu alivyodhihirisha u- mwamba wake wa kuweza kucheza roles tofauti tofauti (picha ya cover inajieleza)
Utaona jinsi MAINDA alivyokuwa Good girl gone bad( get ur copy umuone msichana huyo mdogo lakini mkongwe kwenye movie za bongo)

Utaniona mimi pia ( makamuzi yangu si unayafahamu?)

IN STORES THIS MAY.......GET UR COPY .

Friday, April 27, 2012

SHUKRANI ZA PEKEE ZIENDE KWA WOTE WANAOGUSWA NA TATIZO LA SAJUKI
Juzi jumatano nilirusha mahojiano niliyoyafanya na Wastara kuhusu ugonjwa wa msanii Sajuki ambae ni mumewe.Sajuki anasumbuliwa na uvimbe tumboni toka mwaka jana mwezi wa saba.Kupitia leo tena ya clouds fm wengi mlisikia na mkaguswa kuwa sehemu ya wale wanaochangia kumwezesha Sajuki kupata matibabu nchini India mwezi ujao.

Kabla sijaanza kampeni hii nilikutana na Wastara akanieleza hali waliyokuwa nayo.Nikaongea na mkuu wa vipindi clouds fm kwamba tufanye kitu tusiishie tu kutoa taarifa akakubali na ndio maana niliiweka hewani katika leo tena.Kwa mtu yoyote mwenye huruma na imani akimsikia huyu dada lazima alie.Hata juzi wakati nafanya kipindi nikiwa hapa Dodoma nilishindwa kujizuia kulia.Niliweka nadhiri moyoni mwangu na Mungu wangu kuwa kama ni yeye alitaka niwe Dina Marios basi sauti yangu na isikike na lengo la kupata pesa ya matibabu ya huyu kijana ipatikane.Na kweli baada ya kufanya tu kipindi kikaisha kuna mama amejitolea tiketi ya ndege ya kwenda na kurudi ya watu wawili.Watu mbalimbali wamejitokeza kuchangia na pia wengi wamejiunga nami katika kampeni hii akiwemo Shamim Mwasha wa 8020 blog,Joyce Kiria wa wanawake live na wengine wengi.

Pia shukrani za pekee zimwendee mbunge wa viti maalum vijana mheshimiwa Esta Bulaya ambae baada ya kuongea nae ameguswa na tunaenda katika ngazi ya juu zaidi kupata tunachokitaka.Kwa sasa tunajaribu kuipeleka kwa waziri wa vijana utamaduni sanaa na michezo Dr.Emmanuel Nchimbi.Kwa lolote endelea kusikiliza clouds fm the people station.

Bado unaweza kuchangia kwa Mpesa 0762189592 na kupitia Akiba commercial bank acount no 050000003047 Wastara Juma.

Thursday, April 26, 2012


Mshitakiwa wa kesi ya mauaji ya aliyekuwa msanii wa filamu Bongo Steven Charles Kanumba, 'Kanumba The Great',  Elizabeth Michael 'Lulu', akisindikizwa na Askali Magereza tayari kwa  kupandishwa Kizimbani kwa maranyingini ili kutajwa na kusomewa  mashitaka juu ya kesi inayomkabili ingawa  kwa mujibu wa wakili wa Serikali Elizabeth Kaganda, kesi hiyo imesogezwa mbele  kwa madai ya  upelelezi kutokamilika hivyo kuahirishwa tena mpaka  Mei 7 mwaka huu itakapotajwa upya. 

Baadhi ya wapiga picha na waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari waliofika Mahakamani hapo wakijaribu kuchukua data za tukio zima la kesi hiyo.

Monday, April 23, 2012

AROBAINI YA MTOTO WA MSANII MAMA HIDAYA NJAIDI, KIMARA
 Msanii Mama Hidaya Njaidi maarufu kwa kuigiza kama Mama na vile vile Mc maarufu jijin Dsm,Siku ya jana amemtoa mtoto wake nje kwa kutimiza siku arobaini na kumfanyia party kubwa nyumbani kwake Kimara.Watu mbalimbali wakiwemo wasanii wa Bongo Movie walihudhuria sherehe hiyo kubwa nyumbani kwa msanii huyo.Watu walikunywa na kula vya kutosha,zawadi mbalimbali za mtoto zikiwemo fedha zilitolewa ndani ya party hiyo

 Kupa akimbeba mtoto

 Nteze akiwa na mtoto

 Dada Erieth na Zamaradi  wakiwa wamemshika mtoto

 Nikiwa na Rachel na kababy

 Mama Njaidi akiwa na mdogo wa mumewe Othuman Njaidi maarufu OJ nadhani wengi mnamjua

 Mambo ya kutunzana hayo,Mc Chichi akimtunza dada yake

 Pesa position hizo

 Kamanda akiwa na Mc Chichi

 Jackline wolper katika pozi

 Tukiwa na Mama Njaidi

 Mambo ya Twaarabu hayo

 Mc Chichi akiwa na Mama Njaidi

 Jackline Wolper akitunza

 Jamani furaha gani hii

 Eheee lete maneno,hiki kiduku au?

 Mapozi lazima yawepo jamani

 Nitunze mdogo wangu mie

 Wolper akitoa nasaha kidogo

 Mkono wa pongezi

 Maswala mazima ya maakuli hayakukosekana

 Kama kawaida yake kijana

 Nteze akipata menuss

TULIVYOJIACHIA KATIKA AROBAINI YA MTOTO WA MAIMARTHA

 Madada tukiwa tumejiachia vya kutosha katika sherehe ya mtoto wa Maimartha kutimiza siku arobaini,waliosimama kushoto ni Rachel Haule,Dada Erieth na chini ni Sandra na mimi mwenyewe

 Nikiwa na Sandra

 Rachel akiwa na rafiki yake

 Kupa kama kawa akiwakilisha

 Nikiwa na Rachel

 Nikiwa na Dada Erieth

 Dada Erieth akiwa kafurahi

 Maya katika pozi

 Watu kwa mapozi humu

 Jamani we acha tuu

 Mai na Sauda Mwilima

 Sharapova na Solo wa Solo

 Sinta na Sajenti

 Vicheko tuu


Pozi tuu hapa

 Maya na mimi
Mashostito hao

AROBAINI YA MTOTO WA MAIMARTHA WA JESSE

 Wadada wa Bongo Movie tukiwa na Maimartha wa Jesse wakati wa shughuli ya mtoto wake kutimiza siku arobain iliyofanyika  nyumbani kwake kawe beach.Shughuli hiyo ilihudhuriwa pia na marafiki zake na jamaa zake mbalimbali.Burudani mbalimbali zilikuwepo kuhakikisha shughuli hiyo ya mtoto inaenda sawa sawia.

 Maimartha akifurahi

 Wadada wa Bongo Movie tukienda kutoa zawadi kwa mtoto

 Mai alifurahi sana kwa jinsi tulivyompa kampani ya kutosha

 Nikiwa na Mama Erieth

 Furaha kwa kwenda mbele

 Dada Asha akitoa zawadi kwa mtoto

 Zawadi zilikuwa za kumwaga

 Mkurugenzi wa Nyerere the Power Steve Nyerere aligawa pesa za kutosha ikiwa ni zawadi kwa mtoto kwa Mai

 Mai akiwa ametulia akisubiri zawadi 

 Mambo hayo nayo hayakubaki nyuma,sekta ya ndugu yangu kupa

 Weweee hatariiiiiiiiiiiii

 Sio muda wa kuongea huu

 Utamaliza au umejaza tuu

 Auntie na Rehema hawakuwa nyuma kuwajuza marafiki kinachoendelea hapo,si unajua mambo ya BBM

 Nami katika maswala haya sitaki mchezo kabisa

Monalisa akipata menu akiwa na rafiki yake